Mwanzo 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo Yehova Mungu akamletea huyo mwanamume usingizi mzito,+ na alipokuwa akilala, akachukua ubavu wake mmoja na kisha akafunika nyama mahali pake. Mwanzo 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Baada ya muda fulani jua likawa karibu kutua, na usingizi mzito ukamshika Abramu,+ na, tazama! giza kubwa la kuogopesha likaanza kumwangukia.
21 Kwa hiyo Yehova Mungu akamletea huyo mwanamume usingizi mzito,+ na alipokuwa akilala, akachukua ubavu wake mmoja na kisha akafunika nyama mahali pake.
12 Baada ya muda fulani jua likawa karibu kutua, na usingizi mzito ukamshika Abramu,+ na, tazama! giza kubwa la kuogopesha likaanza kumwangukia.