Yoshua 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 na makao yote yaliyokuwa pande zote kuzunguka majiji hayo mpaka kufika Baalath-beeri,+ Rama+ jiji la upande wa kusini. Huo ndio uliokuwa urithi wa kabila la wana wa Simeoni kulingana na familia zao.
8 na makao yote yaliyokuwa pande zote kuzunguka majiji hayo mpaka kufika Baalath-beeri,+ Rama+ jiji la upande wa kusini. Huo ndio uliokuwa urithi wa kabila la wana wa Simeoni kulingana na familia zao.