Yoeli 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kusanyeni watu pamoja. Takaseni kutaniko.+ Kusanyeni wazee. Kusanyeni pamoja watoto na wale wanaonyonya.+ Bwana-arusi na atoke katika chumba chake cha ndani, bibi-arusi naye atoke katika chumba chake cha ndoa.
16 Kusanyeni watu pamoja. Takaseni kutaniko.+ Kusanyeni wazee. Kusanyeni pamoja watoto na wale wanaonyonya.+ Bwana-arusi na atoke katika chumba chake cha ndani, bibi-arusi naye atoke katika chumba chake cha ndoa.