Waamuzi 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na ikawa kwamba mara tu malaika wa Yehova alipokuwa amewaambia wana wote wa Israeli maneno hayo, watu wakaanza kupaaza sauti zao, wakalia.+ Waamuzi 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo hao watu wakaja Betheli+ wakakaa hapo mbele za Mungu wa kweli+ mpaka jioni, wakaendelea kupaaza sauti zao na kulia sana.+ 1 Samweli 30:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na Daudi na watu waliokuwa pamoja naye wakaanza kupaaza sauti zao, wakalia,+ mpaka nguvu za kuendelea kulia zilipokwisha ndani yao.
4 Na ikawa kwamba mara tu malaika wa Yehova alipokuwa amewaambia wana wote wa Israeli maneno hayo, watu wakaanza kupaaza sauti zao, wakalia.+
2 Kwa hiyo hao watu wakaja Betheli+ wakakaa hapo mbele za Mungu wa kweli+ mpaka jioni, wakaendelea kupaaza sauti zao na kulia sana.+
4 Na Daudi na watu waliokuwa pamoja naye wakaanza kupaaza sauti zao, wakalia,+ mpaka nguvu za kuendelea kulia zilipokwisha ndani yao.