Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na ikawa kwamba mara tu malaika wa Yehova alipokuwa amewaambia wana wote wa Israeli maneno hayo, watu wakaanza kupaaza sauti zao, wakalia.+

  • Waamuzi 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa hiyo hao watu wakaja Betheli+ wakakaa hapo mbele za Mungu wa kweli+ mpaka jioni, wakaendelea kupaaza sauti zao na kulia sana.+

  • 1 Samweli 30:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na Daudi na watu waliokuwa pamoja naye wakaanza kupaaza sauti zao, wakalia,+ mpaka nguvu za kuendelea kulia zilipokwisha ndani yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki