Hesabu 27:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 ambaye atatoka nje mbele yao na ambaye ataingia ndani mbele yao na ambaye atawatoa nje na ambaye atawaingiza ndani,+ ili kusanyiko la Yehova lisiwe kama kondoo wasio na mchungaji.”+ 1 Samweli 8:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na sisi pia, lazima tuwe kama mataifa mengine yote,+ na mfalme wetu lazima atuhukumu na kwenda mbele yetu na kupigana vita vyetu.”
17 ambaye atatoka nje mbele yao na ambaye ataingia ndani mbele yao na ambaye atawatoa nje na ambaye atawaingiza ndani,+ ili kusanyiko la Yehova lisiwe kama kondoo wasio na mchungaji.”+
20 Na sisi pia, lazima tuwe kama mataifa mengine yote,+ na mfalme wetu lazima atuhukumu na kwenda mbele yetu na kupigana vita vyetu.”