Isaya 56:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ninyi nyote wanyama wa mwituni, njooni mle, ninyi nyote wanyama-mwitu walio msituni.+ Ufunuo 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nikaona pia malaika amesimama katika jua, naye akapaaza kilio kwa sauti kubwa na kuwaambia ndege+ wote wanaoruka katikati ya mbingu: “Njooni hapa, mkusanyike pamoja kwenye mlo mkubwa wa jioni wa Mungu,
17 Nikaona pia malaika amesimama katika jua, naye akapaaza kilio kwa sauti kubwa na kuwaambia ndege+ wote wanaoruka katikati ya mbingu: “Njooni hapa, mkusanyike pamoja kwenye mlo mkubwa wa jioni wa Mungu,