Ayubu 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Je, sikio halipimi maneno+Kama kaakaa+ linavyoonja chakula? Mhubiri 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 na milango inayoelekea barabarani imefungwa,+ wakati sauti ya jiwe la kusaga inaposhuka,+ naye mtu huamshwa na sauti ya ndege, na mabinti wote wa wimbo hutoa sauti ya chini.+
4 na milango inayoelekea barabarani imefungwa,+ wakati sauti ya jiwe la kusaga inaposhuka,+ naye mtu huamshwa na sauti ya ndege, na mabinti wote wa wimbo hutoa sauti ya chini.+