Kumbukumbu la Torati 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 ‘Watu wasiofaa kitu wametokea katikati yako+ ili wajaribu kuwageuzia mbali wakaaji wa jiji lao,+ kwa kusema: “Twende tukaitumikie miungu mingine,” ambayo hamjaijua,’ 1 Samweli 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi wana wa Eli walikuwa watu wasiofaa kitu;+ hawakumtambua Yehova.+
13 ‘Watu wasiofaa kitu wametokea katikati yako+ ili wajaribu kuwageuzia mbali wakaaji wa jiji lao,+ kwa kusema: “Twende tukaitumikie miungu mingine,” ambayo hamjaijua,’