2 Samweli 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kana kwamba hilo ni jambo dogo machoni pako, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, na bado pia unasema habari za nyumba ya mtumishi wako mpaka wakati mrefu ujao; na hii ndiyo sheria iliyotolewa kwa ajili ya wanadamu,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+
19 Kana kwamba hilo ni jambo dogo machoni pako, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, na bado pia unasema habari za nyumba ya mtumishi wako mpaka wakati mrefu ujao; na hii ndiyo sheria iliyotolewa kwa ajili ya wanadamu,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+