Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 27:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ambaye atatoka nje mbele yao na ambaye ataingia ndani mbele yao na ambaye atawatoa nje na ambaye atawaingiza ndani,+ ili kusanyiko la Yehova lisiwe kama kondoo wasio na mchungaji.”+

  • 1 Samweli 18:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo Sauli akamwondoa katika ushirika wake,+ akamweka kuwa mkuu wa watu elfu kwa ajili yake; naye akatoka na kuingia kwa ukawaida mbele ya watu.+

  • 1 Samweli 25:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Tafadhali, samehe makosa ya kijakazi wako,+ kwa maana bila shaka Yehova atamfanyia bwana wangu nyumba inayodumu,+ kwa maana bwana wangu anapigana vita vya Yehova;+ na ubaya hautapatikana ndani yako siku zako zote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki