2 Samweli 3:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Na watu wote wakaona, na jambo hilo likawa jema machoni pao. Kama ilivyo kwa kila jambo ambalo mfalme alifanya, lilikuwa jema machoni pa watu wote.+ Waebrania 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Zaidi ya hayo, msisahau kutenda mema+ na kushiriki vitu pamoja na wengine, kwa maana Mungu hupendezwa vema na dhabihu za namna hiyo.+
36 Na watu wote wakaona, na jambo hilo likawa jema machoni pao. Kama ilivyo kwa kila jambo ambalo mfalme alifanya, lilikuwa jema machoni pa watu wote.+
16 Zaidi ya hayo, msisahau kutenda mema+ na kushiriki vitu pamoja na wengine, kwa maana Mungu hupendezwa vema na dhabihu za namna hiyo.+