1 Samweli 8:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na sisi pia, lazima tuwe kama mataifa mengine yote,+ na mfalme wetu lazima atuhukumu na kwenda mbele yetu na kupigana vita vyetu.” Mhubiri 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia;+ wakati wa vita+ na wakati wa amani.+
20 Na sisi pia, lazima tuwe kama mataifa mengine yote,+ na mfalme wetu lazima atuhukumu na kwenda mbele yetu na kupigana vita vyetu.”