Kutoka 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Na mtu akiiba ng’ombe-dume au kondoo na kumchinja au kumuuza, atalipa watano kutoka katika mifugo kwa ajili ya ng’ombe-dume huyo na wanne kutoka katika kundi kwa ajili ya kondoo huyo.+
22 “Na mtu akiiba ng’ombe-dume au kondoo na kumchinja au kumuuza, atalipa watano kutoka katika mifugo kwa ajili ya ng’ombe-dume huyo na wanne kutoka katika kundi kwa ajili ya kondoo huyo.+