6 Pia, upendo wao na chuki yao na wivu wao tayari zimepotea,+ na mpaka wakati usio na kipimo hawana fungu lolote tena katika chochote ambacho kitafanywa chini ya jua.+
14 Wao wamekufa; hawataishi.+ Wakiwa ni wasiojiweza katika kifo,+ hawataamka.+ Kwa hiyo umeelekeza fikira zako ili uwaangamize na kuharibu majina yao yote.+