Hesabu 32:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Sasa wana wa Rubeni+ na wana wa Gadi+ wakawa na mifugo mingi, mingi sana, kwa kweli. Nao wakaanza kuiona nchi ya Yazeri+ na nchi ya Gileadi, na, tazama! mahali hapo palikuwa mahali pa mifugo. Yoshua 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 na Gileadi na eneo la Wageshuri+ na Wamaakathi na Mlima Hermoni+ wote na Bashani+ yote hadi Saleka;+
32 Sasa wana wa Rubeni+ na wana wa Gadi+ wakawa na mifugo mingi, mingi sana, kwa kweli. Nao wakaanza kuiona nchi ya Yazeri+ na nchi ya Gileadi, na, tazama! mahali hapo palikuwa mahali pa mifugo.
11 na Gileadi na eneo la Wageshuri+ na Wamaakathi na Mlima Hermoni+ wote na Bashani+ yote hadi Saleka;+