Hesabu 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa nini jina la baba yetu liondolewe kutoka katikati ya familia yake kwa sababu hakuwa na mwana?+ Tupe miliki katikati ya ndugu za baba yetu.”+ 2 Samweli 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na Absalomu akazaa wana watatu+ na binti mmoja ambaye jina lake lilikuwa Tamari. Alikuwa mwanamke mrembo zaidi.+
4 Kwa nini jina la baba yetu liondolewe kutoka katikati ya familia yake kwa sababu hakuwa na mwana?+ Tupe miliki katikati ya ndugu za baba yetu.”+
27 Na Absalomu akazaa wana watatu+ na binti mmoja ambaye jina lake lilikuwa Tamari. Alikuwa mwanamke mrembo zaidi.+