2 Samweli 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na mwana wake wa pili alikuwa Kileabu+ kupitia Abigaili+ mke wa Nabali Mkarmeli, na wa tatu alikuwa Absalomu+ mwana wa Maaka binti ya Talmai+ mfalme wa Geshuri. 2 Samweli 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na haya ndiyo majina ya wale ambao alizaa katika Yerusalemu: Shamua+ na Shobabu+ na Nathani+ na Sulemani,+
3 Na mwana wake wa pili alikuwa Kileabu+ kupitia Abigaili+ mke wa Nabali Mkarmeli, na wa tatu alikuwa Absalomu+ mwana wa Maaka binti ya Talmai+ mfalme wa Geshuri.
14 Na haya ndiyo majina ya wale ambao alizaa katika Yerusalemu: Shamua+ na Shobabu+ na Nathani+ na Sulemani,+