2 Samweli 3:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nami leo niko dhaifu ingawa nimetiwa mafuta+ niwe mfalme, na watu hawa, wana wa Seruya,+ ni wakali mno kwangu.+ Yehova na amlipe mwenye kufanya mabaya kulingana na ubaya wake mwenyewe.”+
39 Nami leo niko dhaifu ingawa nimetiwa mafuta+ niwe mfalme, na watu hawa, wana wa Seruya,+ ni wakali mno kwangu.+ Yehova na amlipe mwenye kufanya mabaya kulingana na ubaya wake mwenyewe.”+