Mwanzo 18:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo Abrahamu akafanya haraka kwenda katika hema alimokuwa Sara, akasema: “Fanya haraka! Chukua vipimo vitatu vya sea vya unga laini, ukande donge na kuoka keki za mviringo.”+
6 Kwa hiyo Abrahamu akafanya haraka kwenda katika hema alimokuwa Sara, akasema: “Fanya haraka! Chukua vipimo vitatu vya sea vya unga laini, ukande donge na kuoka keki za mviringo.”+