2 Wafalme 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ndipo akapanda, akamlaza juu ya kitanda+ cha yule mtu wa Mungu wa kweli,+ akamfungia mlango na kutoka nje. 2 Wafalme 4:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mwishowe Elisha akaingia katika hiyo nyumba, na, tazama, huyo mvulana alikuwa amekufa, amelazwa juu ya kitanda chake.+
21 Ndipo akapanda, akamlaza juu ya kitanda+ cha yule mtu wa Mungu wa kweli,+ akamfungia mlango na kutoka nje.
32 Mwishowe Elisha akaingia katika hiyo nyumba, na, tazama, huyo mvulana alikuwa amekufa, amelazwa juu ya kitanda chake.+