38 Lakini, akasema: “Mwanangu hatashuka kwenda nanyi, kwa sababu ndugu yake amekufa naye amebaki peke yake.+ Tukio lenye kufisha likimpata katika njia mtakayoiendea, basi bila shaka mtazishusha mvi zangu kwa huzuni mpaka katika Kaburi.”*+
31 basi bila shaka itatukia kwamba mara atakapoona kwamba huyu mvulana hayupo atakufa tu, na watumwa wako kwa kweli watazishusha mvi za mtumwa wako baba yetu kwa huzuni mpaka katika Kaburi.*