2 Samweli 14:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Basi, kwa kulinganisha na Absalomu, hakuna mwanamume aliyekuwa na sura nzuri+ sana katika Israeli yote kuweza kusifiwa sana hivyo. Hakuwa na kasoro yoyote, kuanzia wayo wa mguu wake mpaka kipaji cha kichwa chake.
25 Basi, kwa kulinganisha na Absalomu, hakuna mwanamume aliyekuwa na sura nzuri+ sana katika Israeli yote kuweza kusifiwa sana hivyo. Hakuwa na kasoro yoyote, kuanzia wayo wa mguu wake mpaka kipaji cha kichwa chake.