Yoshua 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kisha, katika siku ya saba wakaamka mapema, mara kulipopambazuka, nao wakalizunguka jiji vivyo hivyo mara saba. Siku hiyo peke yake walizunguka jiji mara saba.+
15 Kisha, katika siku ya saba wakaamka mapema, mara kulipopambazuka, nao wakalizunguka jiji vivyo hivyo mara saba. Siku hiyo peke yake walizunguka jiji mara saba.+