2 Samweli 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Katika Hebroni alitawala akiwa mfalme juu ya Yuda kwa miaka 7 na miezi 6;+ na katika Yerusalemu+ akatawala akiwa mfalme kwa miaka 33 juu ya Israeli yote na Yuda. 1 Mambo ya Nyakati 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kulikuwa na wana sita aliowazaa akiwa Hebroni; naye akaendelea kutawala huko miaka saba na miezi sita, naye akatawala katika Yerusalemu miaka 33.+
5 Katika Hebroni alitawala akiwa mfalme juu ya Yuda kwa miaka 7 na miezi 6;+ na katika Yerusalemu+ akatawala akiwa mfalme kwa miaka 33 juu ya Israeli yote na Yuda.
4 Kulikuwa na wana sita aliowazaa akiwa Hebroni; naye akaendelea kutawala huko miaka saba na miezi sita, naye akatawala katika Yerusalemu miaka 33.+