1 Samweli 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini jambo hilo lilikuwa baya machoni pa Samweli kwa vile walikuwa wamesema: “Tupe mfalme atuhukumu,” na Samweli akaanza kusali kwa Yehova.+
6 Lakini jambo hilo lilikuwa baya machoni pa Samweli kwa vile walikuwa wamesema: “Tupe mfalme atuhukumu,” na Samweli akaanza kusali kwa Yehova.+