1 Wafalme 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na sasa Yehova Mungu wangu amenipa pumziko kuzunguka pande zote.+ Hakuna mpinzani, wala hakuna jambo baya linalotendeka.+ 1 Mambo ya Nyakati 22:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tazama! Utazaa mwana.+ Yeye atakuwa mtu mtulivu, nami nitampa pumziko kutoka kwa adui zake wote pande zote;+ kwa maana jina lake litakuwa Sulemani,+ nami nitaleta juu ya Israeli amani+ na utulivu katika siku zake. Zaburi 72:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Katika siku zake aliye mwadilifu atachipuka,+Na wingi wa amani mpaka mwezi utakapokuwa haupo tena.+
4 Na sasa Yehova Mungu wangu amenipa pumziko kuzunguka pande zote.+ Hakuna mpinzani, wala hakuna jambo baya linalotendeka.+
9 Tazama! Utazaa mwana.+ Yeye atakuwa mtu mtulivu, nami nitampa pumziko kutoka kwa adui zake wote pande zote;+ kwa maana jina lake litakuwa Sulemani,+ nami nitaleta juu ya Israeli amani+ na utulivu katika siku zake.
7 Katika siku zake aliye mwadilifu atachipuka,+Na wingi wa amani mpaka mwezi utakapokuwa haupo tena.+