Luka 11:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Malkia+ wa kusini atasimamishwa katika hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki naye atawahukumu kuwa wenye hatia; kwa sababu yeye alikuja kutoka miisho ya dunia ili aisikie hekima ya Sulemani, lakini, tazameni! Aliye mkuu+ kuliko Sulemani yupo hapa. Wakolosai 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hazina zote za hekima na za ujuzi zimefichwa kwa uangalifu ndani yake.+
31 Malkia+ wa kusini atasimamishwa katika hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki naye atawahukumu kuwa wenye hatia; kwa sababu yeye alikuja kutoka miisho ya dunia ili aisikie hekima ya Sulemani, lakini, tazameni! Aliye mkuu+ kuliko Sulemani yupo hapa.