1 Wafalme 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwishowe Adoniya akafanya dhabihu+ ya kondoo na ng’ombe na vinono karibu na lile jiwe la Zohelethi, lililoko kando ya En-rogeli,+ akawaalika ndugu zake wote wana wa mfalme+ na wanaume wote wa Yuda watumishi wa mfalme;
9 Mwishowe Adoniya akafanya dhabihu+ ya kondoo na ng’ombe na vinono karibu na lile jiwe la Zohelethi, lililoko kando ya En-rogeli,+ akawaalika ndugu zake wote wana wa mfalme+ na wanaume wote wa Yuda watumishi wa mfalme;