Mwanzo 28:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na uzao wako utakuwa kama chembe za mavumbi ya dunia,+ nawe hakika utaenea kotekote upande wa magharibi na wa mashariki na wa kaskazini na wa kusini,+ na kupitia kwako na kupitia kwa uzao wako familia zote za nchi hakika zitajibariki.+ Mwanzo 46:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kisha Mungu akaongea na Israeli katika maono ya usiku, na kumwambia:+ “Yakobo, Yakobo!” naye akajibu, akasema: “Mimi hapa!”+
14 Na uzao wako utakuwa kama chembe za mavumbi ya dunia,+ nawe hakika utaenea kotekote upande wa magharibi na wa mashariki na wa kaskazini na wa kusini,+ na kupitia kwako na kupitia kwa uzao wako familia zote za nchi hakika zitajibariki.+
2 Kisha Mungu akaongea na Israeli katika maono ya usiku, na kumwambia:+ “Yakobo, Yakobo!” naye akajibu, akasema: “Mimi hapa!”+