2 Mambo ya Nyakati 32:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Baada ya hayo Senakeribu+ mfalme wa Ashuru akawatuma watumishi wake mpaka Yerusalemu, wakati alipokuwa katika Lakishi+ pamoja na uwezo wake wote wa kifalme,+ kwenda kwa Hezekia mfalme wa Yuda na kwa Wayudea wote waliokuwa Yerusalemu, akisema:
9 Baada ya hayo Senakeribu+ mfalme wa Ashuru akawatuma watumishi wake mpaka Yerusalemu, wakati alipokuwa katika Lakishi+ pamoja na uwezo wake wote wa kifalme,+ kwenda kwa Hezekia mfalme wa Yuda na kwa Wayudea wote waliokuwa Yerusalemu, akisema: