Isaya 36:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na mwishowe mfalme wa Ashuru akamtuma Rabshake+ kutoka Lakishi+ kwenda Yerusalemu,+ kwa Mfalme Hezekia, akiwa na jeshi kubwa, naye akasimama tuli kando ya lile bomba+ la kidimbwi cha juu+ kwenye njia kuu ya uwanja wa mfuaji wa nguo.+
2 Na mwishowe mfalme wa Ashuru akamtuma Rabshake+ kutoka Lakishi+ kwenda Yerusalemu,+ kwa Mfalme Hezekia, akiwa na jeshi kubwa, naye akasimama tuli kando ya lile bomba+ la kidimbwi cha juu+ kwenye njia kuu ya uwanja wa mfuaji wa nguo.+