Isaya 36:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Eliakimu+ na Shebna+ na Yoa+ wakamwambia Rabshake:+ “Tafadhali, sema na watumishi wako katika lugha ya Kisiria,+ kwa maana tunasikia; wala usiseme nasi katika lugha ya Wayahudi+ masikioni mwa wale watu walio juu ya ukuta.”+
11 Ndipo Eliakimu+ na Shebna+ na Yoa+ wakamwambia Rabshake:+ “Tafadhali, sema na watumishi wako katika lugha ya Kisiria,+ kwa maana tunasikia; wala usiseme nasi katika lugha ya Wayahudi+ masikioni mwa wale watu walio juu ya ukuta.”+