15 Navyo visima vyote ambavyo watumishi wa baba yake walikuwa wamechimba siku za Abrahamu baba yake,+ Wafilisti wakawa wakivifunika na kuvijaza kwa udongo mkavu.+
4 Basi watu wengi wakakusanywa, nao wakaziba chemchemi zote na mto+ unaofurika kupitia katikati ya nchi, wakisema: “Kwa nini wafalme wa Ashuru waje na kupata maji mengi?”