Yohana 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Akajibu: “Mtu anayeitwa Yesu alifanyiza udongo akaupaka juu ya macho yangu na kuniambia, ‘Nenda mpaka Siloamu+ ukanawe.’ Kwa hiyo nikaenda, nikanawa na kupata kuona.”
11 Akajibu: “Mtu anayeitwa Yesu alifanyiza udongo akaupaka juu ya macho yangu na kuniambia, ‘Nenda mpaka Siloamu+ ukanawe.’ Kwa hiyo nikaenda, nikanawa na kupata kuona.”