Mwanzo 21:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Hiyo ndiyo sababu aliita mahali hapo Beer-sheba,+ kwa sababu wote wawili walikuwa wamekula kiapo hapo. 1 Wafalme 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akaogopa. Basi akaondoka, akaanza kwenda kwa ajili ya nafsi yake,+ akafika Beer-sheba,+ jiji la Yuda.+ Kisha akamwacha mtumishi wake huko.
31 Hiyo ndiyo sababu aliita mahali hapo Beer-sheba,+ kwa sababu wote wawili walikuwa wamekula kiapo hapo.
3 Naye akaogopa. Basi akaondoka, akaanza kwenda kwa ajili ya nafsi yake,+ akafika Beer-sheba,+ jiji la Yuda.+ Kisha akamwacha mtumishi wake huko.