22 Akampa kila mmoja wao nguo moja ya kujitanda ya kubadili,+ lakini akampa Benyamini vipande mia tatu vya fedha na nguo tano za kujitanda za kubadili.+
12 Ndipo Samsoni akawaambia: “Tafadhali, acheni niwategee kitendawili.+ Mkiniambia kwa hakika kitendawili hicho kwa muda wa siku saba+ za karamu hii, nanyi mkitegue, ndipo nitakapowapa mavazi 30 ya ndani na nguo 30.+