7 Kisha ataitapanya+ mara saba+ juu ya yule anayejitakasa kutokana na ukoma naye atamtangaza kuwa safi,+ naye atamwachilia ndege aliye hai aruke kwenda zake porini.+
4 Kisha Eleazari kuhani atachukua sehemu ya damu yake kwa kidole chake na kuitapanya sehemu ya damu yake moja kwa moja kuelekea hema la mkutano mara saba.+