Waamuzi 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye mwenyewe akageuka na kurudi alipofika mahali penye machimbo yaliyokuwa katika Gilgali,+ akasema: “Nina neno la siri kwako, Ee mfalme.” Basi akasema: “Nyamazeni!” Ndipo wote waliokuwa wamesimama kando yake wakatoka nje na kumwacha.+
19 Naye mwenyewe akageuka na kurudi alipofika mahali penye machimbo yaliyokuwa katika Gilgali,+ akasema: “Nina neno la siri kwako, Ee mfalme.” Basi akasema: “Nyamazeni!” Ndipo wote waliokuwa wamesimama kando yake wakatoka nje na kumwacha.+