Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Sasa akawaambia: “Hivi ndivyo Yehova Mungu wa Israeli amesema, ‘Kila mmoja wenu na auweke upanga wake kwenye paja lake. Piteni kati na kurudi toka lango mpaka lango katika kambi na kuua kila mtu ndugu yake na kila mtu mwenzake na kila mtu rafiki yake.’”+

  • Kumbukumbu la Torati 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Ikiwa ndugu yako, mwana wa mama yako, au mwana wako au binti yako au mke wako mpendwa au mwenzako aliye kama nafsi yako mwenyewe,+ atajaribu kukushawishi kwa siri, akisema, ‘Twende tukaitumikie miungu mingine,’+ ambayo hukuijua, wewe wala mababu zako,

  • Kumbukumbu la Torati 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 usikubali nia yake wala kumsikiliza,+ wala jicho lako lisimsikitikie,+ wala usione huruma, wala kumficha kwa kumlinda;

  • Ezekieli 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye akawaambia hawa wengine masikioni mwangu: “Piteni katikati ya jiji nyuma yake na kupiga. Jicho lenu lisisikitike, wala msiwe na huruma yoyote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki