2 Mambo ya Nyakati 23:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Athalia aliposikia sauti ya watu wakikimbia na kumsifu mfalme,+ mara moja akaingia kwa watu katika nyumba ya Yehova.
12 Athalia aliposikia sauti ya watu wakikimbia na kumsifu mfalme,+ mara moja akaingia kwa watu katika nyumba ya Yehova.