2 Mambo ya Nyakati 24:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo mfalme akatoa amri, nao wakatengeneza sanduku+ na kuliweka nje kwenye lango la nyumba ya Yehova. Marko 12:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Naye akaketi akitazama masanduku ya hazina+ na kuanza kuangalia jinsi umati ulivyokuwa ukitumbukiza pesa ndani ya masanduku hayo; na matajiri wengi walikuwa wakitumbukiza ndani sarafu nyingi.+ Luka 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sasa alipotazama juu aliwaona matajiri wakitumbukiza zawadi zao ndani ya masanduku ya hazina.+
8 Ndipo mfalme akatoa amri, nao wakatengeneza sanduku+ na kuliweka nje kwenye lango la nyumba ya Yehova.
41 Naye akaketi akitazama masanduku ya hazina+ na kuanza kuangalia jinsi umati ulivyokuwa ukitumbukiza pesa ndani ya masanduku hayo; na matajiri wengi walikuwa wakitumbukiza ndani sarafu nyingi.+