Yeremia 42:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 kwa hiyo hata sasa sikieni neno la Yehova, enyi mabaki ya Yuda. Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Hakika ninyi mkikaza nyuso zenu kuingia Misri nanyi kwa kweli mwingie ili kukaa huko mkiwa wageni,+ Luka 9:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Sasa siku zilipokuwa zikikamilika ili yeye achukuliwe juu,+ aliukaza uso wake kwenda Yerusalemu.
15 kwa hiyo hata sasa sikieni neno la Yehova, enyi mabaki ya Yuda. Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Hakika ninyi mkikaza nyuso zenu kuingia Misri nanyi kwa kweli mwingie ili kukaa huko mkiwa wageni,+