2 Mambo ya Nyakati 26:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mwishowe Uzia akalala pamoja na mababu zake; na kwa hiyo wakamzika pamoja na mababu zake, lakini katika uwanja wa kuzikia wa wafalme,+ kwa maana walisema: “Yeye ni mwenye ukoma.” Na Yothamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.
23 Mwishowe Uzia akalala pamoja na mababu zake; na kwa hiyo wakamzika pamoja na mababu zake, lakini katika uwanja wa kuzikia wa wafalme,+ kwa maana walisema: “Yeye ni mwenye ukoma.” Na Yothamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.