Luka 3:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 mwana wa Enoshi,+mwana wa Sethi,+mwana wa Adamu,+mwana wa Mungu. 1 Wakorintho 15:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Hata imeandikwa hivi: “Mtu wa kwanza Adamu akawa nafsi hai.”+ Adamu wa mwisho akawa roho+ inayotoa uhai.+
45 Hata imeandikwa hivi: “Mtu wa kwanza Adamu akawa nafsi hai.”+ Adamu wa mwisho akawa roho+ inayotoa uhai.+