Mwanzo 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Naye Adamu akalala na mke wake tena naye akazaa mwana, akamwita jina lake Sethi,+ kwa sababu, kama alivyosema: “Mungu amenichagulia uzao mwingine badala ya Abeli, kwa sababu Kaini alimuua.”+
25 Naye Adamu akalala na mke wake tena naye akazaa mwana, akamwita jina lake Sethi,+ kwa sababu, kama alivyosema: “Mungu amenichagulia uzao mwingine badala ya Abeli, kwa sababu Kaini alimuua.”+