14 Na Musa akaanza kuwa na ghadhabu kwa sababu ya wale wanaume waliowekwa rasmi wa majeshi ya vita,+ wakuu wa maelfu na wakuu wa mamia waliokuwa wakiingia kutoka katika safari hiyo ya kijeshi.
12 na kujichagulia wakuu wawe juu ya watu 1,000+ na wakuu wawe juu ya watu 50,+ na baadhi yao wamlimie+ na kuvuna mavuno+ yake na kutengeneza silaha zake za vita+ na vyombo vya magari yake.+