1 Mambo ya Nyakati 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nalo sanduku la Mungu wa kweli likaendelea kukaa pamoja na nyumba ya Obed-edomu, nyumbani kwake+ kwa miezi mitatu; na Yehova akazidi kuibariki+ nyumba ya Obed-edomu na vitu vyake vyote.
14 Nalo sanduku la Mungu wa kweli likaendelea kukaa pamoja na nyumba ya Obed-edomu, nyumbani kwake+ kwa miezi mitatu; na Yehova akazidi kuibariki+ nyumba ya Obed-edomu na vitu vyake vyote.