Mwanzo 36:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Baal-hanani mwana wa Akbori alipokufa, Hadari akaanza kutawala badala yake; na jina la jiji lake lilikuwa Pau, nalo jina la mke wake lilikuwa Mehetabeli binti ya Matredi binti ya Mezahabu.+
39 Baal-hanani mwana wa Akbori alipokufa, Hadari akaanza kutawala badala yake; na jina la jiji lake lilikuwa Pau, nalo jina la mke wake lilikuwa Mehetabeli binti ya Matredi binti ya Mezahabu.+