1 Mambo ya Nyakati 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Wote waliochaguliwa kuwa watunza-malango kwenye milango walikuwa mia mbili kumi na wawili. Walikuwa katika makao+ yao kulingana na maandikisho yao ya kiukoo.+ Daudi+ na Samweli mwonaji+ waliwaagiza hao rasmi katika vyeo vyao vya kutegemewa.+ 2 Mambo ya Nyakati 23:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo akawaweka watunza-malango+ kando ya malango+ ya nyumba ya Yehova ili yeyote aliye najisi katika jambo lolote asiingie.
22 Wote waliochaguliwa kuwa watunza-malango kwenye milango walikuwa mia mbili kumi na wawili. Walikuwa katika makao+ yao kulingana na maandikisho yao ya kiukoo.+ Daudi+ na Samweli mwonaji+ waliwaagiza hao rasmi katika vyeo vyao vya kutegemewa.+
19 Kwa hiyo akawaweka watunza-malango+ kando ya malango+ ya nyumba ya Yehova ili yeyote aliye najisi katika jambo lolote asiingie.