1 Samweli 27:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo Akishi akasema: “Mlivamia wapi leo?” Naye Daudi akasema:+ “Upande wa kusini wa Yuda+ na upande wa kusini wa Wayerahmeeli+ na upande wa kusini wa Wakeni.”+
10 Ndipo Akishi akasema: “Mlivamia wapi leo?” Naye Daudi akasema:+ “Upande wa kusini wa Yuda+ na upande wa kusini wa Wayerahmeeli+ na upande wa kusini wa Wakeni.”+